Angalizo kwa CHADEMA juu ya Jimbo la Kigoma Kusini!

Kafulila amefukuzwa Uanachama NCCR wakati akipinga NCCR kutumiwa na CCM hoja ambayo iliungwa na Mbowe katk harakati za kukataa kuungana na Mbatia katika Umoja wa Vyama vya upinzani

Kule Kigoma Kusini Kafulila ana nguvu na katika mtandao wa Chama , Chadema na NCCR ndivyo vyenye Nguvu!!
Mgombea wa CHadema ni Mhindi anaitwa Hassanary na hakubaliki huku!!!

Mbinu Pekee ya CDM kushinda Uchaguzi huo ni kumushawishi Kafulila kama CCM walivyo mshawishi Rostam !!!

Endapo kafulila atarudi CDM , Kauli ya Mbowe kuwa Mbatia ni CCM -B itakuwa agenda ya uchaguzi na jimbo hilo litahamia CDM !!!
Pia Mkosamali anaweza kurejesha kadi ya Uanachama NCCR kwani alisema hataki kuona Mbatia anaendelea Kuwa Mwenyekiti !!!

Sasa hapa majimbo yote hayo mawili yanaweza kurudi CDM!!!
Ukweli uliopo ni kwamba Siasa za Nchi hii ni kwamba mtu yupo tayari kuitumikia CCM na kuuza wanyonge!!

Endapo CDM watashindwa kumuchukua Kafulila kule jimboni kura zinaweza kugawanyika kwa kuwa Mbatia amiengia Mkataba na CCM ili jimbo hilo linge CCM na yeye apate ubunge kupitia Afrika Mashariki!!

Vita hii ni ya kimutizamo!!!

 

By Yericko Nyerere

Leave a comment