Tamko la waziri kivuli kuhusu madaktari Muhimbili

TAARIFA KWA UMMA WA WATANZANIA .
YAH; MADAKTARI WALIOKUWA MAFUNZONI/WASAIDIZI WA MADAKTARI BINGWA KUONDOLEWA KAZINI HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI WAREJESHWE KAZINI.

Juzi tarehe 07/01/2012 tumeshuhudia tukio la ajabu ambalo limefanywa na mtu anayeitwa Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuwasimamisha kazi madaktari wasaidizi 229 ambao wamekuwa wakifanya kazi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili na serikali ikashindwa kuwalipa na hata yeye na hospitali anayoiongoza walishindwa kuweka utaratibu wa kuwalipa kama ilivyofanyika katika hospitali za Mbeya, Dodoma na kwingineko nchini.

Uamuzi huu wa kiuonevu umefanywa na viongozi ambao wameshindwa kutii masharti na makubaliano ya mkataba baina ya madaktari hao na wizara ya afya ambao ulikuwa umesainiwa baina ya pande mbili hizo kuwa wanastahili kulipwa kila tarehe 22 ya mwezi , kitu ambacho serikali imeshindwa kutekeleza hadi madaktari walipogoma kuanzia tarehe 03/01/2012.

Kutokana na tukio hili ambalo linasababisha maisha ya watanzania kupotea , kutokana na uzembe wa serikali kushindwa kuwalipa madaktari ambao wamefanya nao makubaliano ya kimkataba ni muendelezo wa uzembe ule ule ambao tumekuwa tukiulalamikia kila mara.


Wizara hii imekuwa na utamaduni wa kutokutatua misingi na vyanzo au mizizi ya matatizo na badala yake imekuwa na utamaduni wa kushughulikia matokeo ya matatizo husika kama ilivyofanya kwenye chuo cha ustawi wa jamii Dar Es Salaam kwa kuwafukuza wahadhiri badala ya kuangalia kiini cha tatizo ambacho nilikianisha bungeni wakati wa hotuba mbadala ya kambi ya upinzani, kufukuza wanafunzi waliolalamikia masuala mbalimbali kuhusiana na bodi ya mikopokatika Chuo Kikuu cha Tiba Muhimbili n.k.

Kutokana na hali hii ambayo inawafanya watanzania kuendelea kuumia na wengine kupoteza maisha yao ni kitendo ambacho kamwe hakikubaliki na hakivumiliki tena kuona kuwa serikali inawatesa watanzania kutokana na kushindwa kuwalipa madaktari ambao wangefanya kazi ya kuwahudumia wananchi hawa ambao wamekuwa wakilipa kodi na fedha hizo kutumiwa na baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijinufaisha wao binafsi na ambao ni viongozi serikalini.

Hivyo basi , ninaitaka serikali ifanye mambo yafuatayo;

  1. Kuwarejesha kazini mara moja na bila masharti madaktari ambao wamesimamishwa kiuonevu kwa kuwa kosa sio la kwao bali ni la serikali.
  2. Serikali iwalipe madaktari wote wanaodai posho zao ili waweze kuendelea na kazi ya kuwahudumia wananchi maeneo yote nchini ambako hawajalipwa.
  3. Serikali iwe inatibu viini vya matatizo na sio kukimbilia kushughulikia matokeo ya matatizo hayo kama ambavyo salamu za mwaka mpya za Katibu Mkuu wa CHADEMA ziliainisha waziwazi.
  4. Serikali iseme wazi kama imeshindwa kukusanya mapato na hivyo kufilisika ili wananchi wajue na waweze kuchukua tahadhari ama hatua madhubuti kwa kadri watakavyoona inafaa.

Mwisho ninawapa pole sana watanzania wote ambao wamekumbwa na adha hii iliyosababishwa na uzembe wa Serikali na kwa wale waliopoteza ndugu zao kutokana na mgomo huu uliosababishwa na serikali nawapa pole sana na Mungui awatie nguvu kipindi hiki kigumu.

Tamko hili limetolewa na .
…………………………

Gervas Mbassa (Mb).

Waziri kivuli wa wizara ya Afya na ustawi wa Jamii.
08/01/2012.
By Yericko Nyerere

Majina 100 ya wa Israel wahalifu wa vita ya siku 22 dhi ya Palestina yatangazwa

 

 

Orodha ya kwanza ya maafisa wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel waliotekeleza jinai za kivita katika vita vya siku 22 dhidi ya Wapalestina huko Ghaza imetangazwa.
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Qudsna, orodha hiyo inajumuisha majina ya maafisa wa kijeshi na askari wa utawala wa Kizayuni ambao majina yao yalichapishwa katika tovuti ya ‘war criminals’ au watenda jinai za kivita mwaka 2009. Tovuti hiyo lihujumiwa punde baada ya kuchapisha majina hayo.

Kati ya waliotajwa katika orodha hiyo ya watenda jinai ni Gabi Ashkenazi mkuu wa zamani wa vikosi vyote vya kivita vya Israel. Wazayuni hao walihusika katika jinai za kinyama wakati wa vita vya siku 22 dhidi ya Ukanda wa Ghaza. Vita hivyo vilianza mwishoni mwa mwaka 2008 ambapo Wapalestina wapatao 1500 wakiwemo wanawake na watoto zaidi ya 500 waliuawa shahidi.
Waliowengi duniani wanataka Wazayuni hao watenda jinai wafikishwe katika vyombo vya sheria vya kimataifa lakini Marekani inatumia ushawishi wake vibaya kuzuia hatua zozote kali kuchukuliwa dhidi ya watenda jinai hao wa kivita.

By Yericko Nyerere

By Nature men are made to seek as much sex as they can get

The men that ONLY stuck with one woman (even a high quality woman) were losing genetically to the men that used all of their opportunities and had many more children that survived. Those children were carrying their father’s promiscuous genes, and this is why those male genes were passed to us. By Nature men are made to seek as much sex as they can get, so they can
spread their seed wider. By Nature women are made to seek as many admirers as they can get, so they can make a better choice and get the best seed.

Men seek quantity – women seek quality. This is why men seek sex and women seek love. Love is the proof that a woman needs to have some assurance that theman will stick around and help her with the upbringing of the offspring. For a woman, sex is the culmination of her emotional commitment to a man. For a man, sex is a physical act that eases the testosterone pressure he
experiences constantly. Only after this tension has gone, can a man feel love towards a woman.

This is why it often happens that men disappear after they got what they wanted: it wasn’t love; it was the testosterone pressure. Sex for men is the reality check of their passion. This is why having sex early in the relationship is hazardous for women: the man has not had the time to develop any romantic feelings for her. He needs time to develop those feelings, and the only way to do it is
through keeping the sexual tension going for as long as practicable. Sex must be attainable, nearly possible – but not quite. When the sexual tension is at its peak, its release is mind-blowing – and once is never enough, which lays a proper foundation for a future relationship – and love.

Men fall in love through sex; women fall in sex through love. All of this happens on the unconscious level – we do NOT realize what’s going on. But the reason why you are here today and alive is because each and every of your ancestors, men and women, acted true to their instincts and managed to attract at least one sexual partner and produce an offspring. So, there is no need to be bitter about men wanting sex and women wanting love. Those two are the necessary pieces
of the puzzle called Survival Of The Species. And you’ll be better off understanding what the other gender is going through and giving them exactly what they want: a mind-blowing sex or exhilarating love.

By Yericko Nyerere

Saudi Arabia – marufuku wanaume kuuza sidiria na chupi za kike kuanzia leo 5/1/2012

MARUFUKU WANAUME KUUZA SIDIRIA NA CHUPI ZA KIKE
Sheria mpya inayowapiga marufuku wanaume kuuza nguo za ndani za wanawake kama vile chupi na sidiria inaanza kutekelezwa hii leo nchini Saudi Arabia.

Wanaharakati wa kike katika Ufalme huo wa kiislamu wanatumai kuwa agizo hilo lililotolewa na mfalme Abdulla mwaka wa 2006, utamaliza mfadhaiko ulipo wakati wanawake wanauziwa nguo zao za wasaidizi wanaume madukani.

AJIRA KWA WANAWAKE
Hatua hiyo itawapa fursa adimu zaidi ya wanawake 40,000 kuchukua nafasi za kazi zitakazoaachwa wazi.

Maafisa wa kidini wasiopendelea mabadiliko wamepinga vikali hatua hiyo ya wanawake kufanya kazi nje ya nyumba zao.

Serikali imepanga kupeleka waangalizi katika vituo vya biashara kote nchini kuhakikisha kwamba wasaidizi wanawake madukani hawabughudhiwi na maafisa wa polisi wa kidini.

By Yericko Nyerere

Iran sentences former president’s daughter to jail

 

 

The daughter of influential former Iranian president Akbar Hashemi Rafsanjani was on Tuesday sentenced to jail and banned from political activities for “anti state propaganda” dating back to the 2009 disputed presidential election, Iranian media reported.

The Islamic state has piled pressure on the opposition ahead of a parliamentary election in March 2, the first test of the clerical establishment’s popularity since the 2009 vote that critics say was rigged to re-elect Mahmoud Ahmadinejad.

Rafsanjani, who heads a powerful body that resolves disputes between parliament and a hardline clerical body, sided with the pro-reformers after that vote, which brought tens of thousands of people onto the streets during eight months of protests.

Daughter Faezeh Hashemi Rafsanjani went on trial last month on charges of “campaigning against the Islamic establishment,” student news agency ISNA said.

She was arrested and briefly detained after addressing supporters of candidate Mirhossein Mousavi when they gathered near the state television building in Tehran in defiance of a ban on opposition protests in the aftermath of the election.

“My client has been sentenced to six months in jail and banned from engaging in any cultural and political activities for five years,” ISNA quoted her lawyer Gholam-Ali Riyahi as saying. She has 20 days to appeal.

Thousands of people, including senior members of the reformist bloc, were detained after the vote for fomenting unrest. Most of them have since been released, but more than 80 people have been jailed for up to 15 years and five have been sentenced to death.

Iranian media reported on Friday that Iran had blocked the former president’s website for carrying pro-reform statements.

Mousavi, a former prime minister, and Mehdi Karoubi, a cleric and a former parliament speaker who led the opposition, have been under house arrest since February and denied any contact with the outside world.

Iranian authorities said the 2009 vote was healthiest in three decades and accused the United States and Israel of backing the opposition to overthrow the clerical establishment.

The election and its aftermath plunged Iran into its biggest internal crisis since the 1979 Islamic revolution and has created a deepening rift among the hardline rulers.

The registration of hopefuls for March’s election ended on Friday with more than 4,500 candidates registered.

Ahmadinejad’s allies will want to secure a majority in the assembly to bolster his chances of winning a presidential vote in 2013.

Leading reformist politicians said pro-reform political parties have decided not to provide a separate list of candidates because the basic needs of a “free and fair” vote have not been fulfilled.

Authorities are concerned that a low turnout will further harm the establishment’s legitimacy. Frustration is simmering among lower- and middle-class Iranians over Ahmadinejad’s economic policies. Prices of most consumer goods have risen substantially and many people struggle to make ends meet.

 

TEHRAN (Reuters) –

 

(Writing by Mitra Amiri; Editing by Alison Williams)

 

By Yericko Nyerere

Korea Kaskazini yatakiwa kumlinda Kim Jong Un hadi kifo

 

Korea Kaskazini imewaamuru raia wake na wanajeshi kumlinda kiongozi wao mpya, Kim Jong Un, hadi kifo ili kuimarisha ulinzi na kuendeleza sera ya siri ya kulitanguliza jeshi katika nafasi ya kwanza. Magazeti muhimu ya Korea Kaskazini yameandika katika makala maalum ya mwaka mpya kwamba chama, jeshi na umma unatakiwa kumlinda kiongozi huyo mpya mwenye umri karibu miaka 30 hadi kifo. Katika makala hiyo,magazeti  hayo yanasema mwaka mpya 2012 utaleta enzi ya neema  kwa Korea Kaskazini. Maafisa wa Korea Kaskazini pia wametaka wanajeshi wa Marekani waondoke Korea Kusini wakisema kuwepo kwao ni kikwazo kikubwa cha amani katika eneo la Korea.

Wakati huo huo Korea Kaskazini imekiri kuwapo matatizo  makubwa ya chakula yanayowakabili wananchi wake. Utawala wa nchi hiyo pia umesisitiza kuwa unataka kuendelea kuimarisha sera za kiongozi aliyeaga dunia wiki mbili zilizopita, Kim Jong Il. Hakuna matumaini ya kufanyika mageuzi katika taifa hilo lililotengwa na jumuiya ya kimataifa.

By Yericko Nyerere

Chadema sumbawanga mjini yakanusha upotoshaji uliofanywa na stella manyanya na ccm mkoa wa rukwa

Chama cha Demokrasia na Maendeleo Sumbwanga mjini kimekanusha upotoshaji uliofanywa na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Rukwa bw Matete kuwa bw Godfrey Shayo iliyekihama Chama hicho na kujiunga na CCM  alikuwa mwenyekiti wa CHADEMA wilaya.

Taarifa za uhakika toka ofisi ya CHADEMA Sumbawanga mjini ni kuwa bw Shayo alishawahi kushika wadhifa wa mwenyekiti wa baraza la Vijana “BAVICHA” Sumbawanga mjini tena siyo wilaya nzima ya Sumbawanga kwani wilaya ya Sumbawanga ina wenyeviti wawili wa BAVICHA akiwepo wa Sumbawanga mjini na Sumbawanga vijijini.

Kumbukumbu zinaonesha kuwa katika kipindi cha uongozi wa bw Shayo kama mwenyekiti wa BAVICHA Sumbawanga mjini alibainika kuwa mdanganyifu  kwa kutumia mamlaka yake kuchangisha pesa toka kwa wafadhiri na kuzichakachua. Kwa mjibu wa Katibu wa CHADEMA wilaya bw Kasikila upo ushahidi uliyomtia bw Shayo hatiani wa kuchangisha kiasi cha Tsh 48,000/ na kuzitafuna, ni kwa ubadhirifu huo ndo kikao rasmi cha BAVICHA Sumbawanga mjini cha  tarehe 16/07/2011 kiliamua kwa manufaa ya chama na kwa kauli moja kumvua uongozi bw Shayo baada ya kupoteza sifa za kuwa kiongozi. Mhutasari wa kikao cha kutokuwa na Imani na Bw Shayo.

Tazama kiambatanisho nimeambatanisha na makala hii. Katika  hafla kubwa yenye sura ya kimkoa iliyoandaliwa na CCM Mkoa wa Rukwa  kwa ajili ya kumkaribisha bw Shayo CCM na kurushwa na Sumbwanga Tv, mwenyekiti wa CCM mkoa wa Rukwa bw Matete alikaririwa akitamka kwa ujasiri mkubwa kuwa bw Shayo ametokea CHADEMA kama mwenyekiti wa wilaya na kuongezea kuwa zaidi ya kuwa mwenyekiti wa wilaya Sumbawanga pia alikuwa akiongoza wilaya ya Nkasi kwa wadhifa huo huo,

Taarifa sahihi ni kuwa mwenyekiti wa CHADEMA Sumbwanga ni bw Godfrey Katata, na mwenyekiti wa sasa wa BAVICHA tangu tar 18/07/2011 ni bw Conwell Kakwaya, kwa mjibu wa mjumbe wa Baraza la vijana CHADEMA taifa mkoa wa Rukwa bw Frank Joseph Fumpa huu ni upotoshaji wa hali ya juu kwani bw Shayo baada ya kuvuliwa uongozi alibaki akitapatapa mara baada ya kukosa platform CHADEMA na kwa maana hiyo ndiyo maana akaona ni bora ahamie CCM, rekodi sahihi ni kuwa bw Shayo amehamia CCM kama mwanachama wa kawaida wa CHADEMA tena mwanachama mwenye doa au kovu la utaperi.

CCM wanapongezwa kwa kuandaa hafla kubwa iliyohudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Stella Manyaya, wakuu wa wilaya, wabunge, watendaji wakuu wa mkoa, na halmashauri zote za mkoa, (Mpanda, Nkasi, Sumbawanga vijiji na Manispaa) kwa ajili ya kumkaribisha bw Shayo, lakini wajue si sahihi sana kufanya hivyo kwa sasa kwani kutokana na hali mbaya ya maisha wanayokabiliwa wanarukwa ni fedheha kwa CCM na Serikali kwa ujumla. Ikumbukwe kuwa mkoa wa Rukwa una wenyeji wanaotegemea kilimo lakini kwa sasa pamoja na kuwepo na sera ya kilimo kwanza wakulima wanashindwa kununua pembejeo, kwa sasa mfuko wa mbolea Sumbwanga ni  50 elfu @ kilo 50 (mbolea ya Ruzuku) na mbolea y a kuuzwa tu kwa kawada ni shilingi 82 elfu hadi 90 elfu, barabara ni mbovu hazitumiki kwasasa, mafuta ni shida siku ya x mas lita moja ya mafuta ya petroli ilifikia shilingi elfu 7.

Namuomba Stella Manyanya ayafanyie kazi haya na si propaganda za kisiasa, ni vema kama ana nia ya kuendeleza mkoa hizo awaachie wakina Tambwe Hiza      CHADEMA Sumbawanga mjini imekanusha pia upotoshaji mwingine kuwa bw Shayo ameihama CHADEMA eti kwa sababu ya ukabila na udini, upotoshaji huo unajibainisha kuwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana, viongozi wa madhehebu ya kikristo walijiingiza katika kampeni makanisani kwa kumpinga mgombea wa CCM bw AESHI kwa kuwa ni muumini wa kiislam, hoja hii inahitimishwa kwa kusema kuwa CHADEMA Sumbwanga ni chama cha wakristo, Hoja hii si sahihi na kwamba udini Sumbwanga mjini haupo kwa vyama vyote viwili yaani CCM na CHADEMA.

Chachu ya udini Sumbawanga iliingizwa kwa wapiga kura katika kampeni za uchaguzi mkuu mwaka jana na viongozi wa kampeni wa CCM bw Matete( mwenyekiti CCM mkoa),bw  Tung’ombe (katibu mwenezi wilaya), bw Aeshi (mgombea wa ubunge), na wengineo. Hali ilikuwa mbaya sana pale bw Aeshi mgombea wa ubunge CCM alipoishiwa sera kwa wapiga kura na kujinadi katika mikutano kadhaa ya hadhara yeye kama YESU, na kumwita Kikwete MUNGU na Madiwani ROHO MTAKATIFU, jambo hili lilionekana kama fedheha na dharau kubwa kwa wakristo, kanisa katoriki lilitoa onyo kali kwa bw Aeshi na kutoa ujumbe wa kuombwa msamaha kwa dharau hiyo, jambo ambalo halikuwezekana, hali iliendelea kuharibiwa zaidi pale bw Matete kutumia advantage ya yeye kusoma seminari na mapadre wa kikatoriki na kuwa karibu nao kwa muda na kutumia mikutano ya kampeni kuwaita mapadre wahuni na wazinzi na kuwa yeye anawafahamu vizuri.

Kauli hizi alizipata mh Pinda na kuwaamuru wahusika waombe msamaha kwa makanisa, kwa bahati mbaya hawa kufanya hivyo.     Mh Pinda aliamua mwenyewe kuja Sumbawanga kuongea na viongozi wa dini wa kikristo kadhaa na kuamua mwenyewe kuapanda jukwaani katika uwanja wa Rukwa high school na kueleza yote kwa kujaribu kumtetea bw Aeshi kwa kusema alikuwa alijaribu kuomba kura kwa kutumia mafiga matatu akajisahau akatamka YESU,MUNGU na ROHO MTAKATIFU, lakini Pinda alikiri kuwa ni kosa kubwa na hasa kwa Aeshi ambaye si dhehebu hilo, mwishowe mh Pinda aliomba msamaha kwa niaba ya CCM na wote waliohusika.Mh Pinda aliondoka, lakini bado wahusika hawakukoma na hadi sasa kama ilivyoelezwa na bw Shayo bado hoja hii iko katika kauli za viongozi wa CCM mkoa.

CHADEMA Sumbawanga mjini inatamka kuwa  haihusiki kwa hili  la udini, CHADEMA iko imara na itaendelea kuwa imara zaidi Sumbawanga mjini.

By Yericko Nyerere

Ehud Barak katufananisha na Tripolitania (nchi isiyoexist)

Honorary consul: Barak belittled Tanzania

Kasbian Nuriel Chirich says that in trying to stress importance of key euroepean countries to Israel, defense minister made disparaging remark on African count

Addressing the Foreign Ministry’s response to harsh criticism leveled by European Union members of the UN Security Council over Israel’s settlement construction in the West Bank, the Israeli defense minister said “Germany, France and Britain are not Tanzania, Mauritania or Tripolitania. These are very important countries in the world and we have no interest in increasing the tensions with them.”

 

 

 

'Vast country's wonders.' (Photo: Omri Wendel)
‘Vast country’s wonders.’ (Photo: Omri Wendel)

 

 

In an official letter to Foreign Minister Avigdor Lieberman, the consul, Kasbian Nuriel Chirich, said “on behalf of the Republic of Tanzania I wish to express regret over the comments made by Defense Minister Ehud Barak, who, in an attempt to (emphasize) the importance of key European countries, chose to belittle Tanzania and even compare it to a country that does not exist.”

 

 

Chirich stressed that Tanzania was the largest country in east Africa with a population of 46 million. He said Israel and Tanzania maintain extensive financial, diplomatic and security relations which go back to the early 1960s, when the African nation gained its independence.

 

 

“I would be glad if an official Israeli representative accompany on my next visit to Tanzania in January so that he will be able to experience the wonders of this vast country and its peace-seeking people,” the honorary consul said.

 

Kwa msaada wa mtandao wa  http://www.ynetnews.com/articles/0,7340,L-4166711,00.html

By Yericko Nyerere

Mbinu muhimu kwa Chadema strategist kuelekea Magogoni kwa ridhaa ya Watanzania.

Baada ya kumalizia sherehe za xmass za maubwabwa na mapilau, sasa narudi katika harakati za ukombozi wa Tanzania toka kwa mkoloni mweusi anaefanana kwa kila kitu na mzungu yule wa miaka ya 1945, kasoro huyu ni mweusi tu mwenye kutumia magwanda ya kijana akibaka uchumi na rasilimali za urithi wa Tanzania.

Naomba niwakumbushe wanamikakati ya kisiasa (political strategists) wa chadema juu ya hili.

Chama chochote cha kisiasa kinacholenga kuchuku uongozi wa dola lazima kipitie hatua kuu mbili za kimkakati katika ukuaji

 (1)unity of opposition

Hii ni hatua ya kwanza ya kimkakati katika ukuaji wa chama,ambayo chama kinajipambanua kama chama halali cha upinzani (legitimate political oppostion) pia kinatumia muda mwingi katika hatua hii kupinga sera,maamzi na mambo mbalimbali yanayofanywa na chama tawala,hii ikiwa na lengo la kupata public attention na kutengeneza political base na zaidi kupata wawakili shi (wabunge) zaidi bungeni na kua kambia rasimi ya upinzani (chadema imepitia hatua hii).

Na mnaweza kulifanya hili kwa kuchagua agenda mmoja kuu ya kukitambulisha chama chenu na kuvutia wanachama na kujipambanua kama chama cha upinzani (chadema ilifanya hili kwa kuchagua vita zidi ya ufisadi/mafisadi na ruswa kama ajenda yake kubwa)katika hatua hii kinachowaunganisha ni upinzani wenu kwa chama tawala (unity of opposition),lakini hatua hii tu haiwezi kukifanya chama kupata uungwaji mkono wa kutosha  ili kupata uongozi wa dola.

(2)unity of construction

Hii ni hatua ya pili ya kimkakati ambayo ndio inakiiandaa chama kuchukua uongozi wa dola.katika hatua hii nguvu kubwa inawekwa katika kuuza sera mbadala kwa wananchi,na zaidi kueleza mtawafanyia nini wananchi katika nyanda zote afya,elimu,ajira nk,na pia mnaaenda mbali zaidi kutekeleza kwa vitendo kwa wananchi baadhi ya mambo ambayo yako ndani ya uwezo wenu.Katika hatua hii,mnaonesha majibu saidi kwa matatizo ya wananchi na sio kutumia muda mwingi kukosoa chama tawala kimekosea nini bila kuonesha majibu mbadala:

Angalizo kwa chadema:

Mimi naamini chama cha chadema kimeshapita katika hatua ya kwanza ya ukuaji (unity of opposition) na kinatakiwa kwenda hatua ya pili sasa (unity of construction),hii itafanya chama kijiweke wazi zaidi kwa wananchi walio wengi na kuonesha nini tofauti yake ya kisera katika nyanda zote ukilinganisha na chama tawala (ccm).

Hii itajenga kuaminika kwa chama,pia kuonesha wapiga kura kwamaba chama sasa kimeiva na kikotayari kuchukua dola. Vyama vingi vya upinzani vinafanya kosa la kubaki katika hatua ya kwanza tu ya ukuaji,hii haiwezi kukifanya chama kishinde na kupata dola,kitaishia kupata wabunge tu!,inakifanya chama kieendelee kuonekana mbele ya umma kama chama cha upinzani tu,na sio chama kinachoweza kuchukua dola! Strategist wa chadema liangalie hili,msisubili kuuza ilani ya uchaguzi 2015 mkategemea ndani ya kampeni mtajijengea uhalali wa kutosha kuonekana mbele ya wapiga kura kama  chama dola.

Onesheni chama tawala kimeshindwa tayari na ni adui dhaifu,nendeni katika hatu ya pili ya ukuwaji (unity of construction) itawapa nafsai ya kuuza zaidi sera zenu kwa wananchi na sio kutumia muda wote kuuza agenda mmoja(ufisadi) na kuipinga serikali tu,wakati ni huu wa kutoka kuwa chama cha upinzani kwenda kuwa chama chenye kujiaanda kushika dola.

Na hata ikitokea chama kikapata uongozi wa dola moja kwa mmoja bila kupitia hatua ya pili ya ukuwaji,hakitakua na manufaa na kitapoteza umaarufu wake mapema,kwani wananchi wanakua hawajui hasa kwa undani sera za chama hichi,na nini hasa kinalenga kuwafanyia wananchi kama kipaumbele katika kutatua matatizo yao!

Kwani mara nyingi chama kinapewa madaraka kwa imani kitatatua matatizo yote kwa wakati mmoja.

Hili ndilo lililokikuta chama kipya cha democratic cha japan,ilibidi waachie madaraka baada ya miezi mitatu tu ya kushika dola. Politica strategist

CDM inavijana wasomi na werevu ktk nyanja ya siasa mtambuka za kisasa, ninaamini toka moyoni mwangu mtalifanyia kazi ili kulikomboa taifa lililotopea kuzimu!

Sioni haya mbele ya CDM kutoa usaidizi wenye mafaa  kwa kizazi cha sasa na kijacho cha watanzania wote!

Mungu ni bariki mimi Yericko Yohanesy Nyerere,  Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CDM

By Yericko Nyerere

Mzungu afukuzwa kwa ufedhuli na kuwadharau Waafrika, apewa saa 48!

Angalizo: Tokeo hili lilichapishwa kwenye gazeti la Mwafrika 1962. Mwafrika, Jumatatu Oktoba 29, 1962

MZUNGU mwingine ambae ni Meneja wa kampuni ya kuuza dawa, Arusha Bw. R. Bawley ameamriwa aihame Tanganyika, Mzungu huyo amepewa saa 48 tu kufanya hivyo.

Ripoti iliyopokelewa jana na gazeti hili ni kwamba Bwana Bawley alionekana akiondoka na matokaa kuelekea Kenya.

Sababu za kufukuzwa Mzungu huyo ni ufedhuli na kuwadharau Waafrika.

Mwandishi wetu akizungumza na na Regional Commissiner wa Jimbo la Kaskazini, Bwana P. Walwa jana alijulishwa kwamba jambo hilo alilihakikisha yeye mwenyewe alipofukuzwa na Meneja huyo.

Bwana Walwa alipata malalamiko kutoka kwa watu wengi kuhusu ufedhuli wa meneja huyo. Watu wengine walisema kwamba huwafukuza watu dukani kwake au kuwatupia fedha wakinunua vitu.

Bwana Walwa alikwenda katika duka hilo ili ahakikishe mwenyewe kabla ya kuchukua hatua na kwenda kufika Bawley akamwambia ‘nenda zako’. Hapo Bwana Walwa alitoka na kutoa habari hizi kwa polisi.

Radhi yakataliwa:

Asubuhi yake Meneja huyo alikwenda kuomba radhi akisema hakujua kuwa yule aliyemfukuza alikuwa Regional Commssioner.

Bwana Walwa alikataa kumsamehe kwa sababu, alisema ‘dharau ile ilifanyiwa Waafrika wote’. Bwana Walwa alimwambia mwandishi wetu hiyo jana kwamba yeye alitembelea jimbo lote akiwaonya watu waheshimiane. Aliona si haki wengine waachiwe kufanya dharau.

Bawley sasa ni Mzungu wa sita kuondolewa kwa visa kama hivyo tangu nchi hii ipate uhuru wake.

NIONAVYO:

Ukikisimuliwa nchi hii ilivyokua zamani na ilivyo sasa, ni masikitiko makubwa, nisawa na jua na mwezi.

Leo mzungungu anaua mwafrika kwa bastola huku serikali dharimu impa nyongeza ya muda wa uwekezaji chini ya upinde wa miaka mitano ya msamaha wa kodi!

Swali je hivi leo, ambapo viongozi wetu wanawakumbatia wawekezaji, kuna yeyote kati yao anayeweza kufikia maamuzi kama haya?

 

 

By Yericko Nyerere

Kafulila Hawezi kukata rufaa dunia, mpaka mbinguni kwa katiba ya NCCR na Katiba ya Tz

“”Mwanasheria wa NCCR Mageuzi, Dk Sengondo Mvungi alisema Kafulila hawezi kukata rufaa sehemu yoyote dhidi ya uamuzi wa kumfukuza uanachama kwa mujibu wa kanuni ya 7 (2) ya chama hicho.

Kanuni hiyo ya 7(2) ya nidhamu na usuluhishi sehemu ya (d) inaeleza kuwa, baada ya uamuzi wa mwisho kufanywa, kikao husika kitatoa maelekezo kwa kikao au vikao vya chini vyenye mamlaka ya kuchukua hatua au kutoa adhabu kwa kiongozi au mwanachama husika. Kipengele (f) kinasema uamuzi utakaofanywa kwa mujibu wa kupengele (d) utakuwa wa mwisho ila tu pale unapomhusu Mwenyekiti Taifa na Makamu Mwenyekiti (Zanzibar) ambao uamuzi wa mwisho kuwahusu wao ni Mkutano Mkuu.

Kanuni hiyo hiyo sehemu ya 7(1) inaeleza, ‘’Mlalamikiwa au mhusika atakuwa na haki ya kukata rufaa kwenda kamati ya nidhamu na usuluhishi iliyo katika kikao cha ngazi ya juu zaidi ya kikao husika, na kamati hiyo itakuwa na uwezo sawa na ule wa kamati ya kwanza, ila tu haitapokea ushahidi mara ya pili’’.

MY NOTES:

Kwa katiba za ajabu kama hizi za NCCR; Je wana mageuzi tuna haki ya kuipa pressure serikali kushirikiana na wadau kuandika katiba mpya?Je Nape akianza kusema kabla ya kuiambia serikali ilete katiba mpya ingelikuwa vyema mngezisafisha zenu zilizooza!tutamjibu nn?

Kafulila alichaguliwa kwa kura maelfu kule Kigoma-Kusini lkn likely atapoteza Ubunge wake kwa kunyang’wanywa kadi na watu wasio zidi hata 100 waliokutana wakiwa na agenda ya kumtimua wakiongozwa na Mwenyekiti wao Mbatia ambaye katiba imemfanya awe na nguvu kama ya Mungu-mtu!

Si hiyo tu, Je katiba ya Tanzania si  inatambua haki ya wananchi kumchagua kiongozi wanaemtaka? sasa katiba hiyohiyo inazidiwa na katiba za vyama vya siasa kimaamuzi juu ya kiongozi wa kuchaguliwa kwa kura.

 

Katiba ya NCCR kuhusu kufukuzana ni madudu matupu; Je kuna yeyote  anayo katiba ya vyama vikuu vya upinzani vya CHADEMA na CUF nione tofauti zao kwenye vipengele vya kufukuzana?

By Yericko Nyerere

Angalizo kwa CHADEMA juu ya Jimbo la Kigoma Kusini!

Kafulila amefukuzwa Uanachama NCCR wakati akipinga NCCR kutumiwa na CCM hoja ambayo iliungwa na Mbowe katk harakati za kukataa kuungana na Mbatia katika Umoja wa Vyama vya upinzani

Kule Kigoma Kusini Kafulila ana nguvu na katika mtandao wa Chama , Chadema na NCCR ndivyo vyenye Nguvu!!
Mgombea wa CHadema ni Mhindi anaitwa Hassanary na hakubaliki huku!!!

Mbinu Pekee ya CDM kushinda Uchaguzi huo ni kumushawishi Kafulila kama CCM walivyo mshawishi Rostam !!!

Endapo kafulila atarudi CDM , Kauli ya Mbowe kuwa Mbatia ni CCM -B itakuwa agenda ya uchaguzi na jimbo hilo litahamia CDM !!!
Pia Mkosamali anaweza kurejesha kadi ya Uanachama NCCR kwani alisema hataki kuona Mbatia anaendelea Kuwa Mwenyekiti !!!

Sasa hapa majimbo yote hayo mawili yanaweza kurudi CDM!!!
Ukweli uliopo ni kwamba Siasa za Nchi hii ni kwamba mtu yupo tayari kuitumikia CCM na kuuza wanyonge!!

Endapo CDM watashindwa kumuchukua Kafulila kule jimboni kura zinaweza kugawanyika kwa kuwa Mbatia amiengia Mkataba na CCM ili jimbo hilo linge CCM na yeye apate ubunge kupitia Afrika Mashariki!!

Vita hii ni ya kimutizamo!!!

 

By Yericko Nyerere

Rais Kikwete ateua mabalozi wapya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, amewateua wafuatao kuwa Mabalozi:-
*<
(i) Mhe. Phillip MARMO, ameteuliwa kuwa Balozi nchini CHINA. Kabla ya hapo Mhe. Marmo alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge.
(ii)************ Dkt. Deodorus B. KAMALA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini BELGIUM. Kabla ya hapo Mhe. Kamala alikuwa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
*
(iii)********** Dkt. Batilda S. BURIAN, ameteuliwa kuwa Balozi nchini KENYA. Kabla ya hapo Mhe. Dkt. Burian alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira).
*
(iv)********** Dkt. Ladislaus C. KOMBA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini UGANDA. Kabla ya hapo Dkt. Komba alikuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii.
*
(v)************ Bibi Shamim NYANDUGA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini MSUMBIJI. Kabla ya hapo Bibi Nyanduga alikuwa Naibu Mkuu wa Itifaki, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
*<
(vi)********** Bibi Grace J.E. MUJUMA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini ZAMBIA. Kabla ya hapo Bibi Mujuma alikuwa Kaimu Mkurugenzi, Ushirikiano wa Kikanda (Regional Co-operation), Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
*
(vii)******* Bwana Mohamed H. HAMZA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini MISRI. Kabla ya hapo Bwana Hamza alikuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje, ZANZIBAR, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
*
(viii)***** Ndugu Ali A. SALEH, ameteuliwa kuwa Balozi nchini OMAN. Kabla ya hapo Bwana Saleh alikuwa Balozi Mdogo (Consul General) nchini Dubai.
*
2.******** Uteuzi huu unaanzia tarehe 12 Oktoba, 2011.* Wataapishwa tarehe***** 19 Desemba, 2011 saa 03.00 Asubuhi.
*

By Yericko Nyerere

Jinsi Bunge linavyotumia madaraka yake kuliibia Taifa via Tume ya Utumishi ya Bunge

 

 

Kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Wabunge ya 1997 (siina uhakika kama imewahi kufanyiwa marekebisho)

Wajumbe wa Tume ya Utumishi ya Bunge: (WAJUMBE WOTE NI WABUNGE)

(a) the Speaker, who shall be the Chairman,
(b) the Deputy Speaker, who shall be the Vice- Chairman;
(c) The Minister responsible for Parliamentary Affairs;
(d) five other members appointed by the National Assembly from amongst its Members.
(3) The Clerk shall be the Secretary of the Commission and shall be responsible for securing or facilitating the implementation of
all the decisions of the Commission

Wafanyakazi wengine wa Tume mishahara yao na marupurupu yao yanatakiwa yaendane na yale ya Tume ya Utumishi wa Umma – ukiondoa Katibu wa Tume

Ibara ya 7:

(2) In the performance of its
functions under this section, the Commission shall
ensure that the complementing, grading and pay of
staff in the Service are kept broadly in line with
those in the Civil Service, and that so far as
consistent with the requirements set by the
National Assembly, the other conditions of staff in
the Service are also kept broadly in line with those
in the Civil Service.
(3) The Commission shall ensure that,
the pensions and other similar terminal benefits of
staff in the service are kept in line with the
provisions of the main pension scheme of the Civil
Service, but shall not do so in the case of staff for
whom provision for such benefits was made under
another statutory scheme before they entered
service in the National Assembly.

Maamuzi yao yanaamuliwa na Bunge (mapendezo toka kwa wabunge yanaulizwa wabunge wote!) na wakipitisha fedha ni lazima zilipwe mara moja kwenye mfuko wa Bunge

Ibara ya 11: The moneys required from time to time for the purposes of this Act shall, when the estimates have
been approved by Parliament, be paid by the Treasury from the Consolidated Fund into the National Assembly Fund.

Ibara ya 12: Tume inaweza kubadilisha mapendekezo ya makadiridio yatakayoletwa na Katibu wa Bunge


Mgogoro na Ibara ya 13?

The Commission shall from time to time, Prepare and recommend to the President the rates of salaries, allowances and other remuneration to be paid to Members of Parliament.

Swali kuhusu Ibara ya 11, 12 na ile ya 13? Je Rais anahitaji kuridhia ongezo la mishahara ya wabunge kwa mujibu wa sheria? Napendekeza kwamba (kwa maoni yangu) RAis anapewa taarifa tu; sheria haimtaki kuridhia kwani uamuzi wa mwisho wa makadirio na maamuzi ya kulipa wabunge yanafanywa na Tume hiyo. Sheria haimtaki rais kuridhia mapendekezo hayo au chombo kingine chochote. Tunaweza kujadiliana juu ya use ya neno “recommend” but in light of Article 11 Spika Makinda yuko sahihi.

Kulinganisha na Tume nyingine za Utumishi?

NImejaribu kulinganisha japo kwa haraka haraka na tume nyingine za utumishi ili kuona kama kinachofanywa na Wabunge kinafanywa na tume hizo nyingine (walitungiwa sheria na Bunge!). Je, tume ya utumishi ya Walimu au ya Mahakama na hata tume ya Utumishi wa Umma ziko huru kama tume ya Utumishi wa Bunge kufanya wapendavyo kuhusu fedha za Watanzania? Where did we go wrong?

 

By Yericko Nyerere

Vita ya mamba wa Wili iliyoingiliwa na kenge wasiokuwa na uelekeo.

. Ilikuwa ni kunako asubuhi tulivu kijua cha mawio kinachomoza na mto ukiwa tulivu na upepo tulivu ukipepea ghafla bin vuu mto ukaanza kuchafuka kilichofanya mto kuchafuka ni ugomvi wa mamba wawili uliokuwa mkubwa kupita kiasi huku baadhi ya watu waliokuwa nchi kavu wakishuhudia ugomvi huo pasipo kujua sababu za mamba hao kugombana ghafla mamba mmoja aliyeonekana kushindwa akaamua kutoka ndani ya mto na kuja nchi kavu.

Akakaa kidogo nchi kavu na kushindwa kukaa nchi kavu na kuamua kurudi tena mtoni na mwishowe wakapatana na yule mamba mwenzie huku akiwa na hasira za kimoyomoyo za kutaka kulipiza kisasi na hatimaye akaamua kuwashika kenge masikio na kuwaambia kenge kuwa yule mamba mwingine ndiye anayewafanya kuwa masikini na wale kenge kutokana na njaa zao wakaamua kuingilia ugomvi wasioujua na mamba yule aliyepgwa mwanzo akaona bado haitoshi akaanza kumzushia na kuipakazia taasisi yake mambo meng ya uongo mara ooh ananibania hapigi ngoma zangu hv kutopigwa ngoma na clouds pekee ndo itakufanya upotee kwenye game?kwan kuna radio ngap?

E.a,radio1,kiss fm,magic,radio uhuru,passion,rfa,times,capital,classic!!!radio zote hzo zisifanye ngoma yako kuwa hit? Kama ngoma yako kali lazima itakuwa hit tu kwan hit nyingi huamuriwa na mashabiki ndio wanaopga simu redion,kutuma msg,e mail n.k. Sugu na vinega wake wanashndwa kutambua kuwa style zao ni old fashion,tangu sugu anaanza ku rap mwanzoni mwa miaka ya 90 hadi leo anatumia style yake ile ile hv haoni kuwa style ile imechuja?

Ebu mwangalie mwana fa wa ‘ingekuwa vp’ na mwangalie fa wa ‘yalaiti’ ni mwana fa wawili tofauti kabsa mwangalie fid q wa ‘dot com’ na mwangalie fid q wa ‘ngosha ze swaga don’ ni tofauti kabsa hapa namaansha kubadilika kwa style.Kuna siku nilimuuliza prof Jay kuwa anajua kwa nini ngoma zake mbili za mwisho yan ‘msilie’ na ‘kama ipo’ hazkufanya vzur?akanijibu kwa kunisikilizsha ngoma yake mpya ambayo inatarajia kutoka hv karibuni inayoitwa ‘kamili gado’ ngoma ile nilivoisikiliza nikamwambia vzuri kwa kubadilika.Na sio bongo tu hata marekani wasanii wote wasiobadilika wamepotea yuko wapi method man?twalib?red man?ja rule?black milk? na wengi tu wasiobadilika wameshapotea kwenye industry .

Vinega hawa wanashndwa kuelewa hiki kitu kinachoitwa Edu-tainment yan education+entertinment yani unaburudika zen unaelimika mimi nikimsikiliza sugu siburudiki hata kidogo bali naelimika tu,yan me nimetoka kazini nimechoka nipo kwenye foleni kubwa tu ya kurudi nyumbani alafu nimskilize sugu au sogy dog khaa!si ndo ntazidi kuongeza stress kwa nini nismsikilize Izo business naburudika huku naelimika pia.

Kama mziki wako ukiwa na radha+video kali lazima itakuwa hit tu,eti wanasema ruge anampendelea fa,hv yeye ruge ndiye aliyempa fa tunzo ya EA?au ruge ndo alimpeleka fa channel 0 awards?ukifanya video kali km za ay,fa au cpwaa hata clouds wasipozpga ztagongwa tu kwngne tu.Au ruge ndye anayepga video ya Ay MTV? Ebu nitajie ni kinega gani mwenye video kali itakayoweza kupgwa channel 0?sugu ana video gani yenye quality ya kuweza kujivunia?Je ana video hata ya Dola 5000?Jibu ni hapana.

Sugu huyu anachukua chuki zake binafsi na kuzpeleka bungeni ili kumchafua tu ruge,sugu huyu anachukua maneno ya mitaani na kuyapeleka bungeni!hv huyu ni mbunge makini kweli?alisema kuwa THT wamepewa nyumba na serikali!una ushahid gan wa hili kwel we ni mbunge makini?THT Ile nyumba ni wamepanga na wanalipa kodi kama kawaida usipeleke mambo na chuki zko binafsi bungeni bhana me nilidhani ataongelea kuhusu mauzo ya albamu ndpo wasanii wanaponyonywa sana,badala ya kuiomba serikali kushughurikia tatizo hlo kwa kuwa watapata kodi kwny mauzo hayo,au kufanya harakat kwa wanao ban cd,juke box,na cd fake!!.Me nina uhakika clouds haifanyi wasanii kuwa masikini bali wao ndio wanaowasaidia na kuwainua.

Vinega hawa ndio wanaopga show mbovu wasiokuwa na mawasiliano mazuri na Dj(speaking of experience kwa kuwa nshahudhuria show nying tu). Kama sogy bdo anapanga lakin diamond ana mjengo wake unaona tofauti hyo?sogy z old diamond z new product. Vinega hacheni kufuata mkumbo kwa njaa zenu na kuinglia ugomvi msioujua(Ambao mimi naujua cwezi kuuanka hapa jamvini,kwa kuwa upo kisheria zaid) ki undani na kutumiwa km chambo AMKENII yooI!!.Cha msingi cha gongeni ngoma kali,video kali na mjue kupga show lazma mtatajirika tu hata kama ngoma zenu hazipgwi clouds na mumuangalie sana sugu atawavuruga sana,na najua sugu utakuwa umeshanijua mimi ni nani kwa 7bu nilishawahi kukuambia na hatimaye pia ukaniita ni snitch yoo!..yoo!

Chanzo GT JF

By Yericko Nyerere

Wazee Kumi na Saba (17) Waliodai Uhuru waTanganyika

 Kwa kujua au kutokujua, kwa makusudi au kwa bahati mbaya kumekuwa na upotoshaji mkubwa sana kuhusu hasa ni akina nani waliodai Uhuru wa Taifa letu Tanganyika.

Upotoshaji hauishii hapo tu bali hata dhana halisi ya Maadhimisho yenyewe,Leo wanasema nisherehe za Uhuru wa Tanzania Bara,

Hakuna nchi au taifa duniani linaloitwa  Tanzania Bara, halijapata kutokea na halitotokea katika uso wa dunia hii taifa au nchi iitwayo Tanzania Bara.

Muunganano wa Tanganyika na Zanziber ni mfano wa kuigwa duniani, hakuna muungano wenye hadhi kinadharia dunia kama huu,Kila aliye muamini wa amani duniani na aupiganie kuulinda na kuuhuisha uwe na mafaa kwa wa Tanzania

Lakini muungano unaomeza taifa lingine na kubaka fikra za Watanganyika huku ukipuliza kwa dhihaka Wazanzibar haufai, yatupasa tuuhuishe mapema kabla mbongo za wahafidhina hazijamka na kushuhudia hasira ya Mtanganyika chini ya uvuli wa fikra za ccm mfilisi.

Sihubiri KUUVUNJA muungano huu murua bali, nahubiri uwepo wa Tanganyika na Zanzibar zenye kuwajibika kwa watu wao na uwepo Tanzania yenye kujikita Kimuungano.

Suala hili ni kama halina mantiki ya mageuzi ya mstakabali wa Mtanganyika, lakini aliye Mtanganyika anatambua mafaa ya matokeo ya hili.

Zanzibar ni nchi, yenye mamlaka kamili ya ndani, ina KATIBA, ina rais, ina jeshi, ina mahakama, ina bunge, ina makamu wa rais na zaidi ina makamu wa pili wa rais.

Je Tanganyika ipo wapi????? ilikufa ili iweje???

Vita baridi ilishaisha tunaitaka nchi yetu ikiwa na mipaka ileile.

CCM wamekuwa na kapropaganda kakidikteta kwa mtu yeyote azungumzia Muungano, huitwa mchochezi na zaidi MUHAINI.  Ni faida gani ccm mnzopata kwenye aina ya muungano huu?

Mimi nashauri mfumo wa serikali TATU ndiyo suluhu ya manung’uniko ya wakaazi wa pande zote za muungano huu.


Mh. Rais Kikwete leo kaweka kila kitu hadharani kumbe ni wazee 17 kutoka pande zote za nchi yetu walishiriki kikamilifu kudai uhuru wetu kinyume na historia inavyopindishwa au kuaminishwa kwamba ni watu wa Kariakoo pekee walifanya hivyo.


Julius Kambarage Nyerere, Ali Sykes, Lameck Makaranga, Gosbert Milinga, Gelmandus Pacha, Joseph Kimalando, Japhet Kirilo, Abubakar Ilanga, Saadan Kandoro, Suleiman Kitwara, Kisunguta Kabara, Chewa Said Chewa, Dosa Aziz, Patrick Kunambi, Joseph Kasela Mbantu, John Rupia, Abdulah Sykes.

 

By Yericko Nyerere

Tatizo si posho, Tatizo ni wakwepa kodi wakubwa na taifa kutonufaika na rasilimali zetu

Nimeona maneno ya wamaharakati wengi ya kupingana na posho za wabunge mufilisi, mimi natambua wanamtazamo na mawazo yanayoweza kutofautiana na mimi au na watu wengine kwani huo ndio uhuru wa kufikiri.

Tanzania si taifa la kupambana vita kwenye posho za wafanyakazi wake, bali ni taifa linalotakiwa kufanya mapambano katika kudhibiti wakwepa kodi kwenye sekta ya madini, mawasiliano na wengine kama wahindi wanaotumia maduka ya jeshi kukwepa kodi kubwa sana.

kuwa mfanyakazi wa tanzania si kwamba ulipwe mafao dhaifu, na wafanyakazi wengine kama walimu wakipunjwa mishahara basi ni lazima watu wote wapunjwe mishahara na posho.

nadhani ningewaelewa wanaharakati kama wangepigania kwanza wafanyakazi wengine kama walimu wapate posho na mishahara mikubwa na kuimiza ukusanyaji wa kodi na taifa kunufaika na rasilimali zetu.

By Yericko Nyerere

Madhara Ya Chuki, Uhasidi Na Uadui (Falsafa Binasfi chini ya Mang’amuzi tata)


Mang’amuzi ni jambo lenye mafaa kwa dunia hii ya kizazi    hiki cha  nyoka.    

 

Leo nitajaribu kuelezea maradhi makubwa yanayo tusumbua wanadamu wengi kwenye nafsi zetu. Binadamu tunaye adui mkubwa kabisa ambaye tunaishi naye, tunatembea naye na tunalala naye na kushauriana naye kila kukicha. Adui huyu si mwingine ila nafsi zetu wenyewe, hii ni nafsi iliyojaa uadui uwovu na majivuno yakiambatana na kiburi na kutafuta kukomoana, pasipo sababu za maana. Hakuna tabia mbaya katika tabia za binadamu na yenye kuchukiwa kama tabia hii**.

Tabia hizi kama zikimea kwenye nafsi zetu basi uondoa mfungamano wa kirafiki na kindugu na hata majadiliano yetu hukosa busara na hikma kiasi cha kupelekea kwenye utengano na uhasama.

Mwenye hizi tabia usababisha kufungulia madirisha na milango ya kuchukiwa na watu. Japokuwa kila mtu anatarajia apendwe na aheshimiwe na wengine, ndivyo hivyo hivyo, mtu huyo anategemewa awapende na ahifadhi heshima za wengine pia. Na ajiepushe kabisa na kila jambo linalokwenda kinyume na maingiliano mazuri au yanaosababisha kuharibika kwa maelewano na wengine.

Naweza kuuhita ugonjwa huu kwa jina la maradhi ya kimaadili yanayompata mtu, maradhi haya ya chuki na uadui ni miongoni mwa maafa makubwa ya ufanisi na utulivu wa nafsi, yanaotokana na tabia mbaya ya hasira ya kushindwa katika medani ya kutafuta maisha au kushindwa kwako katika kile unachokitafuta katika kuboresha maisha yako, kiasi ya kuvuruga mtiririko wa fikra chanya na kupelekea kuvuruga uthabiti wa kiroho wa mtu. Huenda ni kutokana na sababu Fulani fulani za kukosea hapa na pale au kujaribu hiki na kile. Kushindwa uku umfanya muhusika kupata hamaki na kujichukia na kupelekea kuwachukia wale waliofanikiwa kimaisha, kiasi ya kwamba kwa wale wasio na uvumilivu uamua kuwasingizia mambo haya na yale wale wanao waona kuwa ni maadui zao. Kiasi ya kusahau kuwa kufanikiwa au kuto fanikia ni mipango yako tu kutokuwa mizuri au kwa kutaka kutumia njia ambazo si za kimaadili, kama vile wizi au utapeli.

Hamaki hizi ni ile chuki iliyojengeka muda mrefu kiasi cha kusababisha moto uliofunikwa chini ya majivu ambao unaweza kutoa cheche za chuki na uadui zitakazounguza na kuteketeza mazao ya ufanisi na utulivu wa nafsi yako.

Bila shaka kutozijali hisia za watu huleta matokeo mabaya ya kudharauliwa na wengine na kuonekana ni mtu duni usiyefaa katika jamii za watu wastaarabu na wasomi.

Kama vile ambavyo kusamehe kunaonyesha utukufu na umakini wa nafsi ya mtu pia kunaleta usalama na umoja na utulivu wa nafsi, vivyo hivyo, uadui na uhasama kunapelekea kuwa na, chuki ambayo uzaa chanzo cha mfarakano na ugomvi. Ingawa uhasama hufanywa ili kutuliza misukosuko ya ndani ya nafsi, lakini madhara anayopata mtu kwa kulipiza ubaya kwa ubaya huwa ni makubwa zaidi kuliko madhara anayopata kwa njia nyingine, kwani maudhi licha ya kuwa ni shida kuvumilia, mwisho wake uondoka, lakini uhasama unapoota mizizi huchoma moyo wa mtu kama miba ya sumu na humkera daima. Isitoshe, uadui hauwezi kuondoa ubaya. Bali hulipanua na kulichimba zaidi donda. Kwa kawaida, uhasama humfanya hasimu ajitetee zaidi na alipize kisasi zaidi, akitegemea kupata utulivu wa nafsi, kumbe ndio anajirimbikizia machungu ambayo umletea maradhi ya saratani ya akili na kupelekea kuwa na maamuzi yasiofaa na yaliojaa visasi na chuki.

Wakati mwingine matokeo ya uadui huwa machungu mno kwa kadiri kwamba huwa hayumkiniki kurekebisha uharibifu unaotokana nao. Huenda mtu katika umri wake wote akaungua moyoni mwake na akaitesa roho yake kutokana na kosa kubwa alilofanya la kuweka chuki. Kutotumia akili na kutofikiria matokeo mabaya ya kufanya ugomvi, akifikiria kwamba anamkomoa mtu kumbe anajikomoa mwenyewe. Maana kila binadamu ana kamusi ya maisha yake na kuna baadhi ya watu, hawana maneno kama vile ‘samehe au upendo‘ kabisa, bali kuna maneno kama vile ‘uadui, ugomvi, nitamkomoa, atajuta katika maisha, ataipatapata fresh‘ na mishabaha na minyambuliko yake ndiyo iliyojaa humo. Kinyongo na hasira kali hutumia nguvu zote katika kulipiza kisasi na kujenga chuki kati ya watu. Tabia ya kupandwa na hasira haraka huandalia uwanja wa chuki. Mtu mwenye moyo dhaifu na mwepesi wa kuhamaki havumilii kusikia akikosolewa au akichambuliwa hata kidogo. Kinyume chake, watu wenye nyoyo safi na madhubuti huchukulia kukosolewa na kuchambuliwa kwao kuwa ni fursa nzuri ya kujirekebisha.

Watu wengi wanashindwa kuelewa kwamba kushikwa na hasira sana ni dalili ya kutopevuka kiakili, kwani huenda mtu anayekosoa huwa hana nia ya kumtukana au kumdharau mwenzake mwenye moyo dhaifu na mwepesi wa kukasirika. Hata kama kitendo hicho kitaonekana ni cha kutukana na kudharau, lakini huenda hakukusudia hivyo. Kwa hivyo, hakuna haja ya kuudhika na kulalamika.

Uchambuzi uliokusudiwa kuudhi na kudharau, kama una ukweli na unaonyesha kosa lenyewe, basi huwa ni zinduo na funzo kwa mwenye akili badala ya kuwa chukio. Lakini uchambuzi usiokuwa na msingi na ukweli usitiwe maanani, kwani unatokana na husuda na ubaya. Kitendo cha kuchambua bila ya msingi wowote ni kitendo cha kitoto, kichuki na kiwivu chenye lengo la kujitukuza kwa kuwadharau wengine. Hata hivyo, tusikereke na watu kama hao, bali tuwafunike kwa shuka ya amani na upendo.

Moyo wa kuweka kisasi na kukomoana ni dalili ya unyonge wa nafsi. Na ni ishara ya maudhi na maonevu aliyoyapata mtu udogoni mwake aidha shuleni, mtaani kwake alipokuwa akiishi au aliyo yaona katika familia au wazazi wake. Mambo haya huweka athari mbaya na kinyongo katika moyo wake kwa kadiri kwamba nafsi yake husumbuliwa na aina moja ya chuki iliyotia fora. Kwa ufupi, kukomoana na kulipiza kisasi ni njia mojawapo wanayoitumia wenye kujihisi duni ili kufidia kushindwa kwao. Hutumia visingizio mbalimbali kuwakera wengine na utenda uhalifu wa hatari kulipiza kisasi kwa yale yaliomsibu alipokuwa mdogo, akitafuta kujifariji ukubwani kwa masahibu ya utotoni. Watu wa aina hii mara nyingi wanakuwa wamelelewa katika koo duni na wakapata vyeo au kusafiri nchi za mbali na kujiona kuwa wao ni bora, hivyo kupelekea kuwa wajeuri. Kwa njia hii hutaka kufidia uduni waliolelewa nao katika koo hizo. Na ujiona ni watu bora kuliko wengine, na hutaka kutumia uhasidi na ubinafsi wao kujitangazia ubora wao. Wengi wetu tunaweza kuwatambua watu wa aina hii miongoni mwetu.

Njia mojawapo ya kuishi kwa amani ni kuwa na utulivu wa moyo na kusahau mabaya ya watu uku ukuzingatia shabaha ya maisha kwa kujaribu au kujitahidi kuishi kwa roho safi na huyapuuza mabaya na upinzani wa kiadui anaokutana nao mtu.

Kila binadamu ana hiari ya kudhibiti taathira ya ubaya katika roho yake, vile vile anao uwezo wa kubadilisha jambo baya kuwa zuri au fikra mbaya kwa fikra nzuri na kujibu ubaya kwa uzuri. Kwa hivyo, tunaweza kupunguza nguvu za taathira mbalimbali juu ya fikra zetu kwa kutegemea nguvu za matakwa yetu, na kwa njia hiyo tukapata nguvu za kutosha kuweza kuvunja hisia ya chuki ambayo huzisumbua roho zetu. Hakuna mtu atakayeweza kutusaidia tutakapo shindwa kutekeleza wajibu wetu zaidi ya mtu binafsi mwenyewe.

Kukomoana na kuzushiana mambo yasio mazuri, kama vile vifo au uhalifu ni mambo ambayo si katika ubinadamu, watu wa namna hii ujificha katika ngozi tofauti tofauti. Baadhi ya watu huvaa ngozi za urafiki au uswahiba au kujionesha kuwa ni mpenda dini na haswa hizi zama za utumiaji wa mitandao, watu uweza kukuomba urafiki na kuwaongeza kwenye orodha ya watu utakaokuwa ukiwasiliana nao au wengine ujitia kwenye siasa na kujifanya kuwa wao ni wapinzani, kumbe ni wanafiki na kuchukuwa siri za wengine kisha kuwachongea na kwa njia hii wanaweza kuwakomoa au kuwaangamiza wengine kisiasa au kiuchumi na katika jamii kuonekana kama ni wasaliti.

Niliwahi kusoma sehemu zamani kuwa:

“Chuki na uadui ni matokeo ya upumbavu hasa panapokosekana sababu maalumu. Tunaweza kuyatatua mambo mengi kwa urafiki, lakini ubinafsi hautuachii. Hutokea mara nyingine tukavunja urafiki kwa sababu ya adha ndogo kabisa, wakati tunaelewa kwamba kosa lao ni kuwa na imani tofauti na yetu au wakati mwingie wanaunga mkono fikra tofauti na sisi. Kwa kweli, tunashindwa vipi kuvumiliana katika mustakabari wa maisha yetu na hali sote tuna haki ya kuamini na kufuata fikra tunazo amini kuwa zitatukomboa kimaisha…!?”

Watu hawa wapo tayari kupoteza muda na wakati wao na nguvu zao katika kujitengenezea maadui, uku wakijikomba kwa watu (matajiri, watawala au wanasiasa) wanao amini kuwa wanaweza kuwasaidia katika kutatua maisha yao waliyo yaharibu kwa uhalifu wao. Hali hii uendelea mpaka pale hasidi huyu atakapo fanikiwa, ingawa ni mara chache sana kufanikiwa, lakini hata atakapo fanikiwa hakumpi utulivu wowote wa nafsi na matokeo yake umpelekea kutafuta adui mwingine na mwingine mpaka kumpelekea kupata maradhi mabaya ya nafsi na kuanguka kwa aibu.

Wengi wetu tunashindwa kuelewa kuwa mapenzi ya kijamii ni sababu muhimu kabisa ya mtu kupata maendeleo na mafanikio mazuri katika maisha yake. Mtu mwenye mapenzi na watu akaishi kwa wema na upendo kiasi ndio zikawa sifa zake, basi mtu huyu anayeweza kutawala hata nyoyo za watu na kupanda ngazi ya maendeleo kwa kunufaika kwa msaada na ushirikiano wa jamii na kupata ufunguo wa mafanikio. Mtu mzuri kwa tabia na amali ni kama taa inayong’aa yenye kuongoza fikra na maendeleo ya jamii. Usafi wake wa moyo una taathira kubwa katika muundo wa maadili ya watu.

Kwa kuwa kijicho kina sura mbaya, hivyo hujitangaza chenyewe kuwa ni adui wa tabia na sifa nzuri na kizuizi kati ya watu. Kijicho hakimpi mtu fursa ya kupendwa na watu anao ingiliana nao. Hivyo, mwenye kijicho hukosa fursa za ushirikiano na neema ya mapenzi. Hasidi huonyesha waziwazi ubaya wake unaotokana na vitendo vya tabia yake mbaya, na kwa sababu hiyo hulaaniwa na huchukiwa sana na watu. Na kupelekea kupata huzuni ambazo huingia moyoni mwake kutokana na uhasidi wake, kiasi huikandamiza roho yake katika moto mkali na kuteketeza maisha yake.

Siku zote moyo wa mwenye wivu, husda na roho mbaya, daima uona uchungu na uwa hauna raha wakati wowote. Kwa sababu anaishi kinyume na imani yake, kwa sababu ya kuikataa neema za Mwenyezi Mungu hambazo hazina kikomo, hivyo uishi kwa mashaka na wasiwasi kwa sababu hiyo zile kutu za huzuni huwa haziwezi kutoka kabisa katika moyo wake mpaka anaingia kaburini.

Hali hii ya uhasidi ikishamiri katika jamii, basi upelekea migogoro na ugomvi wa kila aina. Mazingira kama hayo yanayochafuliwa na ugonjwa wa chuki na roho mbaya ya uhasidi huwa ni kizuizi mbele ya maendeleo si ya mtu mmoja mmoja tu, bali jamii kwa ujumla, hivyo kuvuruga nidhamu ambayo ni kiini cha maendeleo ya watu na kusababisha maanagamizi ya jamii hiyo akiwemo hasidi mwenyewe.

Kila mtu au binadamu ana haki ya kuheshimiwa katika jamii kwa kadiri ya heshima na hadhi yake. Mtu anayejifunga katika kuta nne za majivuno na nafsi yake ikatawaliwa na chuki, hatajali kamwe kuwaaribia wengine isipokuwa atazingatia matakwa yake tu. Kwa hivyo, atajaribu kwa nguvu zote kuwaudhi na kuwakera wengine na kujifanya mashuhuri na msifiwa, na kuilazimisha jamii imuone yeye ni bora.

Dhana mbaya ni athari isiyozuilika katika nafsi ya hasidi. Miali ya moto ya mwenye dhana mbaya ya kujiona daima huwaka na huwadhania wote kuwa ni wenye kumchukia na kumtakia mabaya.

Kudharauliwa kwake na kupata mapigo ya daima kutokana na maringo yake hakumsahaulishi kamwe ubaya wake. Bali uendelea kutafuta mbinu hizi na zile kiasi ya kwamba kichwa chake husumbuliwa na fikra zake bila ya mwenyewe kutaka. Na kila akipata fursa hutaka kuifanyia chuki jamii, na uwa hawezi kuona raha madhali machafuko na machemko ya ndani mwake hayajatulia.
Kirusi cha majivuno na maringo hutokeza katika dhamiri ya mtu baada ya kuugua maradhi ya kinafsi ya kujihisi duni. Maradhi hayo hugeuka kuwa kirusi duni ambacho kwa sababu ya kuwa kiharibifu na chauma, huenda kikawa ni chanzo cha hatari nyingi na uhalifu wa kila aina. Kirusi hiki duni humfanya mwenye kujinata afanye ukatili na udhalimu.

Mtu mwenye thamani na hadhi ya kweli hatakuwa na haja ya kujivuna au kujionyesha mbele ya watu wakati wowote ule, kwa sababu anaelewa vyema kwamba kujiona si msingi wa ubora, na roho mbaya haimfai mtu yeyote wala haimfikishi mtu yeyote kwenye kilele cha utukufu na ufakhari.

Basi nadiriki kusema kwamba, kumdharau mtu mpumbavu na kujiepusha na marumbano yasio na tija ni fimbo tosha kabisa, kwa sababu ukiingia wenye marumbano na mtu mpumbavu atakushusha hadi ufikie upeo wake wa kufikiri kijinga na kipumbavu, na kisha atataka kukugaragaza kwa upumbavu wake, na kwa sababu hana hoja, mwishoni utashindwa kuendelea naye… Lakini ukiingia kwenye marumbano ya hoja dhidi ya wasomi, ukiwashinda au wakikushinda basi utafaidika kwa elimu yao, kwa sababu wana upeo unao lingana na wewe, na hapo lazima utaondoka na faida japo mbili au tatu.

Siri moja kubwa sana ya kumuumiza mtu mpumbavu kisaikolojia ni kumdharau na kumfanya kama hayupo, yeye mwenyewe ndio atakuwa akiangaika, maana hajui umeuchukuliaje upumbavu wake.

Kila mtu ana mwendo wake maalumu unaotokana na hali yake ya kimaadili na kinafsi. Msamaha ni mojawapo kati ya sura angavu kabisa ya utukufu na udhibiti wa nafsi, na ni aina moja ya ushujaa na uungwana. Mwenye kuwa na sifa hiyo kwa kadiri ya kutosha na mbali ya kuwa na nguvu na uwezo wa kulipiza lakini akasamehe, hufaidika kwa kuwa na uhakika na usafi wa moyo ambao hauwezi kulinganishwa na kitu chochote kingine. Kusamehe kunaitukuza na kuiimarisha roho ya mtu, na ni kipawa ambacho kwacho hububujika upole na wema. Kusamehe humtoa mtu kwenye kifungo cha ubinafsi. Ingawa ni shida sana kusahau madhara na mabaya ya wengine na moyo huumia sana mwanzoni, lakini kwa kadiri mtu atakavyovumilia katika njia hiyo ndivyo atakavyoweza kupunguza sana masumbufu yake ya rohoni na mwisho wake akawa ni mtu msamehevu na aliye bora kabisa katika jamii.

Hapana shaka kwamba kusamehe kunaweka athari nzuri katika moyo wa adui kwa kadiri kwamba uweza kuleta mabadiliko katika fikra na mwendo wake. Chuki nyingi zimeondoshwa kwa kusamehe, na uadui mkali na wa kizamani umeondoshwa na mahali pake kukaa usafi wa moyo na upendo. Adui mchokozi hulainika na husalimu amri mbele ya mtu aliyejizatiti kwa silaha hii kali na kwa fikra za kiungwana.

Jambo la kuzingatia:
Kimojawapo kati ya vipawa vikubwa kabisa vya binadamu ambavyo wanyama wengine hawakufaidika navyo ni hisia ya kusamehe makosa ya wengine. Mtu anayekuudhi huwa kwa wakati huohuo hukupa fursa nzuri ya kumsamehe na kuona utamu wake. Tumefunzwa kuwasamehe maadui zetu lakini hatukuambiwa tusiwasamehe marafiki zetu. Hivyo, ni wazi kwamba ni lazima tusahau mabaya tuliyotendewa na wengine. Unapomlipizia kisasi adui wako huwa ni sawa naye, lakini unapomsamehe wewe huwa ni bora kuliko yeye, kwani yeye huwa ni mwovu, nawe huwa ni msamehevu. Huenda tusifanikiwe tunapotaka kulipiza kisasi, lakini kusamehe ni njia bora kabisa ya kulipiza kisasi. Kwa kusamehe tunaweza kuwashinda maadui zetu bila ya kupigana na kuwafanya wainamishe vichwa vyao mbele ya utukufu wetu. Kwa hivyo, kuacha chuki na kukwepa uadui ni shambulio kubwa kabisa lenye kuwashinda mahasimu wetu. Tunapotendewa maovu, tuwatendee mema, kwani kulipa mema kwa mabaya uliyofanyiwa ni siasa ambayo kwayo hupatikana amani duniani.”

By Yericko Nyerere

NYOTA YA RUMSFELD ILIVYO ANZA KUNG’AA NDANI YA REPUBLICAN

 

Rumsfeld mtu mwenye umbo dogo na uso wa kijana, rubani wa zamani wa jeshi la maji ambaye hakuonekana umri wake wa miaka 69 kuwa mkubwa katika kipindi cha mgogoro, alikuwa anasubiri amri kutoka kwa Rais huyo kwaajili ya majukumu. Mwanzoni mwa mwaka wakati Rumsfeld alikuwa katika majadiliano kuhusu kuwa waziri wa ulinzi wa Bush alifanya mazungumzo na rais mteule huyo, alimwambia Bush kwamba, wakati kwa miaka minane ya Clinton muundo wa asili uliendelea kuwa ni wa kutumia tahadhari na usalama. Na chaguo la silaha kwa upande wa Clinton lilikuwa ni kombora lenye kuongozwa kwenye lengo.

 

Rumsfeld alimweleza wazi Bush kwamba iwapo muda ungefika kama ilivyokuja kutokea ukafika kweli kwamba Marekani inakabiliwa na tishio yeye akiwa waziri wa ulinzi angemshauri rais kutumia jeshi. Bush alikuwa amejibu wazi wazi makadirio ya Rumsfeld kwamba hivyo ndivyo hasa alivyokuwa anataka. Rumsfeld aliamini kwamba walikuwa na msimamo wa wazi na wa pamoja. Rumsfeld alikuwa mmoja wa nyota zinazo ng’ara zaidi ndani ya chama cha Repblican, mnamo miaka ya 1960 na 1970 akiwa na sifa kama za John F. Kennedy mwenye sura nzuri mkakamavu, msomi, mwenye busara, mcheshi na mwenye tabasamu la kudumu. Watu wengi katika chama hicho akiwemo Rumsfeld mwenyewe walikuwa

wanafikiri kwamba njia yake ilikuwa inamwelekeza kwenye urais .Lakini kamwe hakuweza kupata sifa ua umaarufu au sura ya kuwa na msimamo wa ukorofi dhidi ya watu waliokuwa chini yake kikazi. Isitoshe alijikuta akiwa adui wa mmoja wa nyota wa chama hicho aliyekuwa akiibuka, yaani George W. Bush ambaye alikuja kuufikia urais.

 

Kuibuka kwa Rumsfeld hadi kufika katika ngazi za madaraka ya ndani ni habari inayotokana na mapito magumu, juhudi binasfsi na majungu. Na habari mnamo 1962 akiwa na umri wa miaka 30 zinasema, Rumsfeld alichaguliwa katika vipindi vinne katika baraza la Congress akiwa mwakilishi wa vitongoji vya ufukwe wa kaskazini wa Chicogo ambako alikuwa amekulia, Alijiuzulu kutoka Congress mwaka 1969 na kuwa mkurugenzi wa Ofisi ya Fursa za kiuchumi taasisi yenye kupiga vita umasikini ambayo ilikuwa ni cheo cha uwaziri katika utawala wa Nixon cheo ambacho ni maarufu na chenye kuonekana sana.

 

Mnamo 1973-74 alikuwa Brussels akiwa balozi wa Marekani katika Umoja wa kujihami wa nchi za Magharibi (NATO) na hivyo kuweza kukwepa kashfa ya Watergate. Kwa mujibu wa kitabu cha simulizi ya maisha ya Nixon, mnamo Julai 1974, “Donard Rumsfeld alipiga simu kutoka Brussels akitaka kujiuzulu akiwa balozi wa NATO na arejee kusaidia kazi dhidi ya kufunguliwa mashitaka kwa washirika wake wa zamani. Nixon alijiuzulu mwezi uliofuata na Rumsfeld aliombwa kuwa mwenyekiti wa timu ya kusimamia kipindi cha mpito kabla ya mshirika wake wa zamani Gerad Ford kushika nafasi hiyo. Ford alimwomba Rumsfeld kuwa mnadhimu wa Ikulu lakini Rumsfeld alitaka kubakia NATO. Rumsfeld alikubali wakati Ford alipoahidi kuzipanga upya safu za wafanyakazi na kumpa Rumsfeld madaraka kamili.

 

Baada ya mwaka mmoja akiwa Ikulu, Ford alimwambia kwamba alikuwa na mpango wa kumwondoa waziri wa ulinzi, James Schlesinger hivyo Rumsfeld angehamia katika wizara ya ulinzi na Mkurugenzi wa CIA William Colby nafasi yake ilikuwa ichukuliwe na George Bush mkubwa ambaye wakati huo alikuwa mwakilishi wa Marekani nchini China. Katika faragha, Rumsfeld alikiita cheo hicho cha China kuwa ni kazi ya ovyo na isiyokuwa na uhusiano wowote na siasa mbele ya nyuso za wamarekani,

 

Alikuwa anapinga majukumu hayo mapya kwa Bush na yeye mwenyewe, alimwambia Ford kwamba, kuwaweka pembeni watu hao kungesaidia katika kuwatumia wakati wa kampeni ya kugombea urais ikifika. Alisema kwamba wao walikuwa ni watu wawili pekee ambao wangetoa hotuba thabiti za kisiasa katika uchaguzi ambao ungefuatia katika mwaka wa uchaguzi wa 1976. Lakini Rumsfeld alikubali na kuchukua wizara ya Afya. Bush mkubwa alikuwa anaamini kwamba Rumsfeld alikuwa anamwondoa kwa siri kutoka katika CIA ilikummaliza kisiasa. Wakati huo ilionekana kwamba mkuu wa ujasusi na mwenye kupanga njama chafu nchi za nje asingeweza kuwa rais. Rais Ford wakati huo alimpandisha cheo naibu wa Rumsfeld Bw. Dick Cheney kuwa mnadhimu wa Ikulu 

 Wakati huo pakiwa na manung’uniko kuhusu kuingiza siasa katika CIA, baraza la Seneti lilikuwa linakataa kumthibitisha Bush mkubwa kuwa mkurugenzi hadi hapo Ford aahidi kutomchagua kuwa makamu mgombea mwenza wake katika uchaguzi ambao ungefuata, Rumsfeld aliwambia Ford na Cheney kwamba rais asikubali shinikizo la Seneti. Hatimaye Ford na Bush walipata ahadi hiyo kwa Seneti, Rumsfeld alimlaumu Cheney kwa sehemu fulani akimwambia kwa maneno mengi kwamba Umevuruga mambo katika jambo ulilofanya Mnamo katikati ya mwaka uliofuata 1976, paliibuka aina ya upinzani kati ya waziri wa Ulinzi Bush mkubwa na Rumsfeld, Rumsfeld alikuwa amemwomba Bush kuwa mtu mwepesi mwenye kupendelea urafiki na uhusiano na watu wengi katika maoni yake, Bush mkubwa alikuwa anaepuka migongano isiyokuwa yalazima katika maeneo ya Ikulu.

 

MAJENERALI WAFOKEWA

Hoja za Rumsfeld zilizofuata zilikuwa za ajabu, kila mara alikuwa akinukuu kitabu cha Pearl Habour Warning and Decision kilichoandikwa na Robert Wohlstetter. Alikuwa akiweka msisitizo katika utangulizi wa kitabu hicho ulioandikwa na Thomas Schelling ambaye alikuwa akitoa hoja kwamba tukio la Pearl Harbour lilikuwa ni kosa la kawaida ambalo linaweza kufanywa na serikali. Katika mipango yetu kuna tabia ya kuchanganya mambo mageni na yale ambayo hayawezekani, hatari yenyewe imo katika mapungufu ya matarajio, chuki za kawaida pamoja na hatari kadhaa ambazo huwa za kawaida. Mipango ya Rumsfeld katika kuleta mabadiliko ilikabiliwa na upinzani kadhaa miongoni mwa safu za askari.

 

Ofisa mmoja mwenye cheo cha nyota nne ambaye alikuwa akifanya naye kazi alimwelekeza Rumsfeld kama jamaa mmoja mjanja ambaye huonyesha sura isiyokuwa yake. Mwingine alimwelezea kwamba iwapo mtu atapingana na Rumsfeld basi ajue hali hiyo ni ya hatari, ofisa huyo alisema. Nilikuwa napanda kwenda katika ofisi ya Rumsfeld katika ghorofa ya tatu na ikitokea tulikuwa hatukubali nilimweleza wazi kwamba nilikuwa sikubaliani naye kuna nyakati alikuwa anafurahia hali hiyo na kuna nyakati alikuwa hafurahii hali hiyo. Kuna nyakati Rumsfeld alikuwa anawafokea majenerali ofisini mwake akiwaambia njoni mtoe maelezo ya mambo ambayo mnayafahamu. Wakati mnazungumza matatizo yalikuwa yanawapata maofisa ambao walikuwa wanatoa

maelezo yasiyokuwa na ufumbuzi thabiti kwa Rumsfeld kwani alitaka kujua walivyofikia maamuzi na sababu kamili za kufanya hivyo. (Kwamujibu wa Colonel G. Dster)

 

Hali hii iliwachanganya maofisa wa ngazi za juu Na Rumsfeld alikuwa akiwakabili na maswali magumu baadhi ya maswali hayo yalikuwa ni: Ni nini unafahamu kuhusiana na suala hilo?, Unafikiri ninapaswa kukuuliza nini?, Hiyo ndiyo njia pekee ambayo nitaielewa hali halisi. Alikuwa anasema na kuongeza kwamba na hakika hiyo ndiyo njia pekee ambayo na wewe utajifunza mambo! Alionekana kujiamini mno na kutowaamini watu waliokuwa chini yake jeshini akiwa anafanya kazi na kikundi chenye kuwasiliana kwa karibu. Kikundi ambacho washiriki wake wengi wao walikuwa ni raia. Kilikuwa ni kama kioja kwa watu wengine katika jengo hilo, jopo la pamoja la wanadhimu na wakuu wa jeshi la kawaida, jeshi la majini la anga na askari wa miavuli. Rumsfeld hakupenda kuchanganya mambo.

Hakutaka kufanya mambo yasiyotimia alikuwa kila mara anaipanga upya mipango mbali mbali na kuifanyia marekebisho alikuwa anachukia lugha za kijinga Neno “Combone” lilikuwa daima mdomoni mwa Rumsfeld kila alipokuwa akitaka kupata habari au kufanya jambo fulani alimtumia Steve Cambone mwenye urefu na mwenye utaalamu wa hali ya juu katika mambo ya ulinzi aliyewahi kufanya kazi kwenye tume za ulinzi katika anga za juu za makombora, tume ambayo Rumsfeld alikuwa amewahi kuiongoza Alikuwa ni raia msaidizi maalum kwa waziri huyo na alikuwa kielelezo kikubwa cha uhusiano kati ya Rumsfeld na wafanyakazi wenzake katika wizara ya ulinzi. Combone alikuwa ndiye chombo alichokitumia Rumsfeld katika kuwafikia maofisa wa ngazi za juu jeshini.

 

Jenerali Henry B. Hugh Shelton, mwenyekiti wa jopo la wanadhimu tangu 1997 hakupendelea sana uongozi mpya wa kiraia ambapo alikuwa akiwajulisha wenzake migongano na Rumsfeld. Katika tukio moja Rumsfeld alipendekeza kwamba Shelton alilazimika kutoa ushauri wake wa kijeshi kwa rais kupitia kwake. Shelton alilazimika kusema kwamba sheria imemfanya kuwa mshauri mkuu wa mambo ya kijeshi kwa rais na aliamini kwamba ushauri wake ni lazima utolewe kwa rais moja kwa moja. Pamoja na mikwaruzo aliyokuwanayo Rumsfeld na maofisa wengine bado waliheshimu kwa akili katika utaalam wake. Jenerali mmoja mwandamizi aliwahi kusema “Namheshimu sana kwa umahiri kwamba nimependa unyonge wake ni kutaka kila kitu akifanye” Akiwa ameyafahamu mashambulizi dhidi ya kituo cha kimataifa cha biashara, Rumsfeld alikuwa akishughulikia mambo yake ya kila siku habari za kijasusi ofisini mwake zilisema ndege ya tatu iliyokuwa imetekwa ilijibamiza kwenye eneo la magharibi la jengo la makao makuu ya wizara ya ulinzi alihisi kuchanganyikiwa akakimbia kwenda dirishani lakini mahali alipokuwa hakuweza kuelewa hasa kimetokea nini. Alitoka nje na kufuata eneo lililokuwa na moshi uliokuwa ukisambaa angani kutoka mahali ndege hiyo ilipojibamiza

akaanza kushiriki katika kazi ya uokoaji kabla ya ofisa mmoja wa usalama alipomwambia aondoke eneo hilo.

“Nakwenda ndani” Rumsfeld alisema na haraka akaenda katika kituo cha taifa cha mipango ya kijeshi ambacho ni chumba kimoja kikubwa chenye wafanyakazi wengi. Katika jengo hilo chumba kilikuwa kimejaa moshi hivyo yeye na wenzake walikwenda katika chumba maalum cha mawasiliano kilichokuwa kinaitwa “ Cables” ambapo hewa ilikuwa nzuri kidogo.Jenerali Myers alimtaka Rumsfeled aondoke moshi unazidi kuzagaa kila mahali, alisema kuna watu wengi wanaohangaika kutoa misaada huko hali ni mbaya zaidi kuliko hapa, wengine wasingeweza kuondoka kama Rumsfeld alikuwa bado yupo hapo.

 

“Mnaonaje tukiondoka hapa?” Sawa Rumsfeld alisema, lakini akaendelea kufanya kazi. Jeshi ambalo lilionekana kuwa na mipango mbali mbali isiyotegemewa ilikuwa Afghanistan kituo cha Bin laden na mahali penye kutayarishwa mipango yake.Hapakuwa na hati yoyote ambayo ingeweza kusomwa angalau kupata picha yoyote kuhusiana na tukio hilo. Jambo hili halikuwa la kushangaza kwa waziri huyo wa ulinzi. Alimgeukia Myers na kusema, “kila nilipotaka kuona mipango kadhaa nimekuwa sifurahi yale niliyokuwa nayaona ni wazi mipango hiyo ni ya zamani na imekuwepo katika makabati ya hati kwa muda mrefu mno, Sijaifurahia hali hiyo bado tuna mambo mengi ya kufanya nabidi kulifahamu hilo”, “Nafahamu, bwana”

 Myers akajibu.

Chanzo:    Kitabu cha Vita dhidi ya Ugaidi.

By Yericko Nyerere

Saikolojia na Uwezo mkubwa wa Kufikiri; Nguzo muhimu katika intelijensia ya maisha ya kila siku

Katikamaisha ya kila siku, kuna changamoto mbalimbali zinazotokana na jinsi binadamuanavyoingiliana baina yake na jamii inayomzunguka. Nimekuwa nikitafakari namnaya kukabiliana na changamoto hizi nikabaini kuwa “Saikolojia na uwezo mkubwa wa Kufikiri” ndiyo mihimili pekee inayowezakukabiliana na changamoto hizi. Ukiwa na misingi imara ya nguzo hizi, zitakuwezeshakung’amua na kutoa maamuzi sahihi katika changamoto mbalimbali zinazotokana namuingiliano wa mwanadamu na maisha yake kwa ujumla.


Lengola kuwashirikisha katika mada hii, ni kutaka kujua mbinu zinazowezakumtambulisha mwanadamu kama anaongea ‘Ukweli’au ‘Uongo’ kutokana na muonekanowake mnapokuwa mkiongea naye (Facial Expressions). Binafsi, nimeona Saikolojiana uwezo mkubwa wa kufikiri ndiyo nguzo muhimu katika intelijensia ya maisha yakila siku. Hivyo basi, nakaribisha majadiliano ili tuweze kuzifafanua kwa kinanguzo hizi pia tuongezee katika hizi nilizozitaja kwa lengo la kuboresha kwamanufaa ya wote.


Mimisi mwanasaikolojia na pia si mwanaintelijensia na niliyoyaandika hapa ni mawazoya kufikirika tu. Mawazo haya hayajanukuliwa kutoka chanzo chochote cha habarina yanaweza kuwa yamekosewa kwa namna moja au nyingine, basi yanaweza kurekebishwakwa kadri ya ufahamu wenu ili tuweze kupata mawazo sahihi yatakavyokubalika nawachangiaji wengine.


Saikolojianinayoizungumzia hapa, ni ile ya utambuzi wa mawazo ya binadamu kwa wakati huomnapokuwa mnawasiliana. Saikolojia hii ni ile inayowezesha kumtambua binadamukuwa anawaza nini kwa wakati huo mnapowasiliana. Hii inawezakuwa mavazi yake,jinsi anavyoongea, na muonekano wake kwa ujumla. Kwa mfano, kutambua kamaanadanganya au anasema ukweli kulingana na jambo mnalo zungumzia kwa wakati huoinaweza kudhihirishwa na aidha kuangalia pembeni, kupepesa kope mara nyingi,kutokuwianisha maongezi yake ya awali na maongezi anayoendelea kuongea, n.k.


Uwezowa kufikiri ninaouzungumzia katika mada hii, ni ule uwezo wa kufikiri nakutafakari jambo husika kwa mapana yake ambao humuwezesha muhusika kubaini aidhajambo hilo lina madhara au linajenga kulingana na hali iliyopo. Kwa mfano,“wewe unaishi Gongolamboto na kazi unafanyia Masaki, siku moja upo ofisinijirani yako ambaye huwa mnawasiliana naye kila siku unapokuwa nyumbani, amekujaofisini kwako anaomba msaada wa pesa, hujawahi kumtamkia ni kazi gani unafanya nani wapi unafanyia kazi”.


Hapani lazima “kwa nini?” zitakuwa nyingi! Maswali ya kujiuliza hapa ni kama vile,amejuaje kama nafanyia kazi Masaki? Nani kamuelekeza hapa ofisini kwangu? Je,mimi ndiyo ameona ninauwezo wa kumsaidia kiasi hicho cha pesa? Hivi ni kweliamekuja kuomba pesa au kuna jambo lingine nyuma ya pazia amekuja kulichunguza?n.k.


Wanasaikolojia na wengine wote wenye ufahamu na jambo hili mnakaribishwakwa mjadala!

 

By Yericko Nyerere